SIMBA 'KUMJADILI' MOHAMED DEWJI LEO
Mkutano mkuu wa klabu ya Simba unafanyika leo katika bwalo la Polisi Oysterbay Jijini Dar es Salaam ukiwa na Agenda 10.
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMAPILI
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
ICC: CHELSEA YAKUMBANA NA KICHAPO TOKA KWA REAL MADRID
Michuano ya International Champions Cup inazidi kushika kasi nchini Marekani ambako Mabingwa wa Ulaya Real Madrid waliwalaza Chelsea kwa bao...
IBRAHIMOVIC APIGA BONGE LA GOLI, MAN UNITED IKIPIGA BAO 5
Mshambuliaji mpya wa Manchester United Zlatan Ibrahimovic ameanza kazi rasmi ndani ya kikosi hicho baada ya kufunga bao moja katika ushindi ...
EVERTON YAKATAA DAU LA CHELSEA KUMSAJILI LUKAKU
Everton wamekataa ofa ya paundi milioni 57 iliyotolewa na Chelsea kutaka kumsajili mshambuliaji Romelu Lukaku.
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMAMOSI
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
SENTENSI ZA TAJIRI MOHAMED DEWJI WAKATI AKITANGAZA MPANGO WA KUINUNUA KLABU YA SIMBA
Mkurugenzi mtendaji na Rais wa makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL) ambaye pia ni bilionea kijana Afrika Mohammed Dewji...
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO IJUMAA
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
BAADA YA HOTEL SASA CRISTIANO RONALDO AZINDUA MABLANKET YAKE
Nahodha wa Ureno na mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo ameendelea kuteka ulimwengu baada ya leo kuzindua mablanket yenye nembo ya...
SAMATA AJIHAKIKISHIA NAMBA KATIKA KIKOSI CHA GENK WAKIPATA USHINDI MUHIMU KATIKA EUROPA LEAGUE
Nyota ya nahodha wa Tanzania Mbwana Ally Samatta imeendelea kung'ara baada ya kujihakikishia namba katika kikosi cha Genk kinachoshiriki...
IBRAHIMOVIC AANZA MAZOEZI RASMI NA MAN UNITED, MARTIAL,FELLAINI NA DARMIAN NAO WAREJEA (+Picha)
Tazama picha za mazoezi ya Manchester United leo kivutio kikubwa akiwa ni mshambuliaji mpya wa klabu hiyo Zlatan Ibrahimovic.
ICC: MAN CITY YAWATOLEA UVIVU WABABE WA MAN UNITED
Michuano ya International Champions Cup imeendelea mchana huu kwa Manchester City kuifunga Borussia Dortmund ya Ujerumani kwa penati 6-5.
HII HAPA ORODHA YA WACHEZAJI WALIOACHWA NA WALIOSAJILIWA LIGI KUU ENGLAND
Heka heka za usajili wa wachezaji katika ligi kuu nchini England zinazidi kushika kasi usajili ambao utaishia Agosti 31 mwaka huu. Na hii nd...
KUMBE IBRAHIMOVIC ALIMTOSA BECKHAM NA KUJIUNGA NA MAN UNITED
Zlatan Ibrahimovic amesema alikataa kujiunga na klabu ya Marekani ya FC MIAMI inayomilikiwa na gwiji wa zamani wa Manchester United David Be...
Mmmh AZAM HAYA MAZOEZI SASA SIFA, YAINYUKA KOMBAINI YA ZANZIBAR BAO 1-0
Mabingwa wa kombe la Kagame Azam FC wanaendelea na maandalizi yao ya msimu mpya wa ligi kuu Tanzania bara pamoja na mashindano mbalimbali mj...
ICC : CHELSEA YAINYUKA LIVERPOOL, FABREGAS ALIMWA KADI NYEKUNDU
Michuano ya International Champions Cup imeendelea nchini Marekani ambapo mechi kadhaa zimepigwa usiku wa kuamkia leo Alhamisi.
HEh! KUMBE REAL MADRID NAO BADO WANAMWANIA POGBA
Sakata la usajili wa kiungo Mfaransa Paul Pogba limeingia katika hatua nyingine baada ya Real Madrid kushindwa kukataa kama hawamuhitaji mch...
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO ALHAMISI
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
GONZALO HIGUAIN AKABIDHIWA JEZI NAMBA 9 JUVENTUS
Mabingwa wa Italia Juventus wamekamilisha usajili wa Gonzalo Higuain kwa kumkabidhi jezi namba 9.
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMATANO
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
DAAAH! YANGA YAPIGWA TENA SAFARI HII NA WAGHANA
Mabingwa wa Tanzania bara Yanga wamezidi kupotea katika mbio zao za kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya kombe la shirikisho barani ...
SIMBA YAIKANDAMIZA POLISI MOROGORO BAO 6-0.
Wekundu wa Msimbazi Simba ambao wako katika kambi ya mazoezi mjini Morogoro jioni hii wameikandamiza Polisi Morogoro bao 6-0.
TAMBWE NJE, CANNAVARO NDANI KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA MEDEAMA JIONI HII
Kuelekea katika pambano la marudiano la Kombe la Shirikisho barani Afrika kikosi cha Yanga kimewekwa tayari hadharani.
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMANNE
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
BAADA YA KITEMWA YANGA, SALUM TELELA ASAINI KUICHEZEA NDANDA FC YA MTWARA
Aliyekua kiungo wa mabingwa wa Tanzania bara Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania Salum Telela amesaini kuichezea Ndanda FC ya Mtwara.
ALICHOSEMA MOURINHO BAADA YA MECHI YA MAN UNITED NA MAN CITY KUFUTWA
Pambano la watani wa jadi wa jiji la Manchester Yani klabu mbili za Manchester United na Manchester City limefutwa kutokana na hali mbaya ya...
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMATATU
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
CELTIC YAMSAJILI KOLO TOURE TOKA LIVERPOOL
Mabingwa wa Scotland Klabu ya Celtic imekamilisha usajili wa beki wa kimataifa wa Ivory Coast Kolo Toure toka Liverpool.
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMAPILI
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
WENGER AHAIDI KUTUMIA PESA NYINGI KWA USAJILI.UNAJUA ANAMTAKA NANI?
Kocha wa Arsenal Mfaransa Arsene Wenger ameahidi kutumia pesa nyingi kuimarisha kikosi chake kabla dirisha la usajili halijafungwa.
PAUNDI MILIONI 100 KWA POGBA? UTANI HUU! ~ ASEMA SCHOLES
Sakata la usajili wa kiungo wa kimataifa wa Ufaransa na klabu ya Juventus limezidi kushika kasi baada ya wadau mbalimbali duniani kupondea k...
AMERUDI : DAVID MOYES KOCHA MPYA WA SUNDERLAND
Aliyekua kocha wa Everton na Manchester United David Moyes ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa Sunderland.
ARSENAL YAANZA MAANDALIZI YA MSIMU MPYA KWA SARE
Kikosi cha kocha Arsene Wenger kimeanza maandalizi ya msimu mpya kwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Lens ya Ufaransa.
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMAMOSI
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
ICC: MAN UNITED YABUGIZWA BAO 4-1 NA BORRUSIA DORTMUND
Ziara ya Manchester United nchini China imeanza vibaya baada ya kukumbana na kipigo cha bao 4-1 toka kwa Borussia Dortmund ya Ujerumani.
SHIRIKISHO LA SOKA BARANI AFRIKA CAF LIMEPATA MDHAMINI MPYA
Shirikisho la soka barani Afrika CalAF limepata mdhamini mpya wa mashindano yake baada ya kumalizika kwa mkataba na kampuni ya mawasiliano y...
JULEN LOPETEGUI NDIYO KOCHA MPYA WA HISPANIA
Chama cha soka nchini Hispania imemtangaza kocha wa zamani wa Porto na timu ya vijana ya Hispania Julen Lopetegui kama kocha wao mkuu.
ICC : MANCHESTER UNITED DHIDI YA BORUSSIA DORTMUND LEO MCHANA
Michuano ya International Champions Cup (ICC) kanda ya China inaanza leo kwa mechi kali baina ya Manchester City ya England na Borussia Dort...
NEMANJA MATIC NA MOUSSA SISSOKO WATAJWA KUMRITHI POGBA JUVENTUS
Kiungo wa Chelsea Nemanja Matic na kiungo wa Newcastle Moussa Sissoko wanatajwa kuwaniwa na Juventus ambao ni mabingwa wa Italia.
PENATI ZAIBEBA GENK YA SAMATTA KUSONGA MBELE KATIKA EUROPA LEAGUE
Klabu ya Genk ya Ubelgiji ambayo ni klabu anayochezea nahodha wa Tanzania Mbwana Samatta imesonga mbele katika michuano ya Europa League baa...
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO IJUMAA
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
LIVERPOOL TAYARI WAKO MAREKANI KUJIANDAA NA MSIMU MPYA KUCHEZA NA CHELSEA JUMATANO IJAYO
Liverpool wametua salama nchini Marekani tayari kwaajili ya kucheza mechi za maandalizi ya msimu mpya wa ligi.
NAMBA ZA WACHEZAJI MAN UNITED : MARTIAL AMWACHIA IBRAHIMOVIC LINGARD AMRITHI CHICHARITO, NAMBA 6 YAMSUBIRI POGBA?
Kuelekea msimu mpya wa Ligi kuu nchini England na michezo mbali mbali ya klabu hiyo,namba za jezi za wachezaji zimewekwa wazi.
PEP GUADIOLA AANZA NA KICHAPO MAN CITY, CHELSEA NA LIVERPOOL ZASHINDA
Kocha mpya wa Manchester City Pep Guadiola ameanza kibarua chake ndani ya klabu hiyo kwa kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Bayern Munich.
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO ALHAMISI
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
VITU NILIVYOVIONA KWENYE MECHI TATU ALIZOCHEZA YANGA.
Mabingwa wa Tanzania bara Yanga wanaendelea na mechi zao za kombe la shirikisho barani Afrika hatua ya Makundi. Kwa upande wangu vitu hivi ...
WACHEZAJI WATATU WAKIGENI WAONGEZEKA KATIKA KAMBI YA SIMBA MOROGORO
Kikosi cha wekundu wa msimbazi Simba kinaendelea na mazoezi ya kujiandaa kwaajili ya msimu mpya mjini Morogoro.
KIKOSI CHA MANCHESTER UNITED TAYARI KIKO CHINA, KUWAKABILI DORTMUND IJUMAA
Kikosi cha Manchester United tayari kiko nchini China kwa ziara ya kujiandaa na msimu mpya.
PEP GUADIOLA USO KWA USO NA BAYERN MUNICH LEO KATIKA MECHI YA KIRAFIKI
Siku chache baada ya kuondoka katika kikosi cha Bayern Munich kocha mpya wa Manchester City atarudi katika dimba la Allianz Arena na kikosi ...
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMATANO
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
RUVU SHOOTING YAACHANA NA KOCHA TOM OLABA
Klabu ya Soka ya Ruvu Shooting imeamua kuachana na kocha wake mkuu Mkenya Tom Alex Timamu Olaba na badala yake kumtumia Seleman Mtungwe amba...
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMANNE
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
TUZO ZA MSIMU WA 2015-16 TUMEZIONA LAKINI HAPA HAMJATENDA HAKI.
Sherehe za ugawaji wa tuzo kwa wachezaji,makocha na timu zimefanyika usiku wa tarehe 17 Julai. Kiukweli zimegawiwa kwa haki na wote waliofan...
TUZO YA MCHEZAJI BORA BARANI ULAYA, 7 WATOKA LALIGA,EPL PATUPU
Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA limetoa orodha ya wachezaji 10 watakaowania tuzo ya mwanasoka bora barani Ulaya kwa mwaka huu.
MAN UNITED YAONGEZA MDHAMINI MWINGINE NI WA 15
Manchester United imeongeza idadi ya wadhamini wake kwa kusaini mkataba na kampuni ya Virgin Money inayojihusisha na maswala ya fedha.
BAADA YA KUMKOSA ZIELINSKI LIVERPOOL WAHAMIA KWA KIUNGO WA NEWCASTLE GIORGINIO WIJNALDUM
Liverpool wanaendelea na mbio zao za kuimarisha kikosi chao kwa kufanya usajili katika idara karibia zote muhimu tayari kwaajili ya msimu uj...
KOCHA MPYA AZAM AANZA NA USHINDI
KOCHA Mkuu wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Zeben Hernandez, jana ameiongoza timu hiyo kwenye mchezo wa kwanza tokea aka...
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMATATU
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua y...
YANGA YATAWALA TUZO ZA WASHINDI WA MSIMU ULIOPITA TANZANIA
Mabingwa wa Tanzania bara Yanga SC wameendelea kutawala katika tuzo za washindi wa msimu uliopita wa ligi kuu ya soka Tanzania bara.
SHEVCHENKO KOCHA MPYA TIMU YA TAIFA YA UKRAINE
Chama cha soka nchini Ukraine kimemteua mshambuliaji wa zamani wa AC Milan na Chelsea Andriy Shevchenko kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya tamk...
BAADA YA KUSAJILIWA CHELSEA KANTE ADAI NDOTO YAKE IMETIMIA
Kiungo mpya wa Chelsea Ng'olo Kante amesema kujiunga kwake kuichezea klabu hiyo ya London ni kutimia kwa ndoto yake ya kucheza katika kl...
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMAPILI
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua y...
YANGA YAAMBULIA SARE NYUMBANI DHIDI YA MEDEAMA (+ Picha na Habari)
Mabingwa wa Tanzania Bara Yanga wameambulia pointi moja baada ya kutoka sare ya bao 1-1 na Medeama ya Ghana katika mechi ya kombe la Shiriki...
MOURINHO AANZA NA USHINDI MAN UNITED
Kocha mpya wa Manchester United Jose Mourinho ameanza kwa ushindi katika mechi yake ya kwanza akiwa kana kocha mkuu wa Klabu hiyo.
KIKOSI CHA YANGA LEO DHIDI YA MADEAMA.
Mabingwa wa Tanzania bara Yanga wanajitupa dimbani jioni hii kumenyana na Medeama ya Ghana katika kombe la shirikisho barani Afrika. Na hiki...
WACHEZAJI WA YANGA WANA DENI KUBWA.
Na Richard Leonce. Kwa siku za hivi karibuni, Klabu ya Yanga imekua mfano wa kuigwa katika suala zima la kuiandaa timu yao. Hapa ni lazima...
TATHMINI KUELEKEA MCHEZO WA YANGA NA MEDEAMA LEO
Na Ayoub Hinjo Ni mchezo mmoja kati ya minne ambayo timu ya Yanga amebakiwa nayo,ni hivyo hivyo kwa Medeama kutoka nchini Ghana. Kwa kuzit...
MAN UNITED,CHELSEA,BAYERN MUNICH NA BORUSSIA DORTMUND UWANJANI LEO JUMAMOSI
Miamba ya soka barani Ulaya Manchester United,Bayern Munich, Chelsea, Dortmund na nyingine leo zinajitupa katika viwanja mbalimbali kucheza ...
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMAMOSI
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua y...
MASIKINI DR. TIBOROHA : TFF YAIPIGA "STOP" STAND UNITED KAMPUNI ANAYOIONGOZA
Shirikisho la soka Nchini Tanzania TFF limesimamisha uongozi wa klabu ya Stand United Kampuni chini ya Mtendaji wake mkuu Aliyekua katibu mk...
SAMATTA APIGA BAO 1 GENK IKISHINDA NYUMBANI KATIKA MICHUANO YA EUROPA LEAGUE
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania na nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta jana usiku aliweka historia mpya katika maisha yake ya soka. ...
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO IJUMAA
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua y...
TANZANIA YAPANDA NAFASI 13, ARGENTINA NAMBA 1 KATIKA UBORA WA SOKA DUNIANI.
FIFA Imetoa viwango vya ubora wa nchi wanachama wake kwa mwezi wa 6 ambapo Tanzania imepanda kwa nafasi 13 katika viwango hivyo.
BARCELONA YAWEKA WAZI JEZI ZAO MPYA ZA UGENINI BILA NEMBO YA MDHAMINI
Mabingwa wa soka nchini Spain klabu ya Barcelona imeweka wazi jezi zake mpya za ugenini kwaajili ya msimu ujao.
SAMATA KUWEKA REKODI MPYA LEO KATIKA MICHUANO YA EUROPA LEAGUE
Nahodha wa Taifa Stars na mshambuliaji wa klabu ya Genk ya nchini Ubelgiji Mbwana Ally Samata leo ataweka historia mpya kwake na Tanzania. ...
FALCAO ARUDISHA MAKALI YAKE YA KUFUNGA APIGA BAO 2 MONACO IKISHINDA 4-1 (+Video)
Baada ya kuonekana hafai ndani ya vikosi vya Manchester United na Chelsea mshambuliaji wa Colombia anayeichezea Monaco ameanza kurudisha mak...
THE GUNNING MACHINE : HATA MIMI NINGEKUA HENRY NINGEONDOKA ZANGU.
Na Richard Leonce Ni siku ambazo mashabiki wengi wa Arsenal hawana cha kujivunia kwa kweli. Timu haitambi kwenye soko la usajili lakini ha...
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO ALHAMISI
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua...
MTIBWA SUGAR YAWASAJILI MANDAWA NA PONERA
Wakata miwa wa mjini Morogoro Klabu ya Mtibwa Sugar imefanikiwa kuinasa saini ya mshambulijai wa Timu ya Taifa ya Tanzania na klabu ya Mwadu...
KUTANA NA HABARI KALI ZA USAJILI BARANI ULAYA LEO JUMATANO
Meneja wa Manchester United Jose Mourinho yuko tayari kumsajili kiungo kutoka Spain, Cesc Fabregas, 29, ambaye alikuwa naye Chelsea (Daily M...
AZAM FC YALETA MSHAMBULIAJI MWINGINE TOKA IVORY COAST..
Maandalizi ya msimu mpya wa ligi kuu nchini Tanzania yanaendelea vyema kwa kila klabu kutaka kujiweka sawa kuonyesha makali yake msimu ujao...
MAN UNITED WAKIWA KATIKA MAZOEZI TAYARI KUIVAA WIGAN JUMAMOSI (+Picha)
Maandalizi ya msimu mpya wa ligi kuu nchini England yanaendelea kwa Kikosi cha Manchester United chini ya Jose Mourinho kinaendelea na mazoe...
MAMBO YAZIDI KUWA MAGUMU KWA RONALDINHO GAUCHO,ACHEZA MECHI YA KIRAFIKI KUPATA PESA
Kama kuna mtu anatamani maisha yangerudi nyuma ili aende akarekebishe alipokosea basi Ronaldinho Gaucho angekua mmoja wa watu hao.
HIKI NDICHO KIKOSI BORA CHA MICHUANO YA EURO 2016
Michuano ya Euro 2016 ilimalizika kwa Ureno kuwafunga wenyeji kwa bao 1-0 katika mchezo wa fainali.
WAINGEREZA KUTOKA WACHEZAJI BORA HADI REFA BORA.
Uhalisia wa maisha ni mabadiliko ya kila siku kwa mwanadamu lakini maisha haya yamebadilika vibaya kwa Waingereza ambao wanasifika kwa kuwa ...
SIMBA YAPANIA KUFANYA KWELI MSIMU UJAO YAENDELEA NA MAZOOEZI MOROGORO
Baada ya kufanya vibaya kwa misimu kadhaa wekundu wa Msimbazi Simba wameamua kupiga mazoezi ya nguvu katika viunga vya mji wa Morogoro.
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMATANO
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
AZAM TV YAMWAGA BILIONI 23 KUONYESHA LIGI KUU TANZANIA BARA
Azam TV leo imeweka historia mpya katika soka la Tanzania baada ya kusaini mkataba mpya wa udhamini kwaajili ya haki ya matangazo ya ligi hi...
TOTTENHAM YAMSAJILI BONGE LA MSHAMBULIAJI TOKA UHOLANZI
Klabu ya Tottenham Hotspur ya England imekamilisha usajili wa mshambuliaji Vincent Janssen kwa paundi milioni 18.5.
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMANNE
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
YANGA YALIMWA FAINI YA DOLA 5,000 KISA KUMZONGA MWAMUZI
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limeipiga faini ya dola 5,000 Klabu ya Young African kwa kosa la kuchelewesha mchezo baada ya wa...
ULICHEKI MECHI YA JANA? VIDEO HIGHLIGHTS IKO HAPA
Ureno ndiyo mabingwa wapya wa michuano ya Euro 2016 na hapa tumekuwekea video highlights za mchezo huo.
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMATATU
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
AZAM FC YAWATEMA WACHEZAJI SITA HUKU WAWILI WAKISHINDWA MAJARIBIO
UONGOZI wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, umetangaza rasmi kuwatema wachezaji sita kwa awamu ya kwanza huku nyota wawili ...
EURO 2016: LICHA YA RONALDO KUUMIA MAPEMA, URENO YAKOMAA NA KUTWAA UBINGWA
MABINGWA NI URENO (PORTUGAL) Timu ya taifa ya Ureno ndiyo mabingwa wapya wa kombe la mataifa ya Ulaya Euro 2016 yaliyomalizika nchini Ufara...
KATIBU MKUU MPYA SIMBA PATRICK KAHEMELE ANZA NA MAMBO HAYA
Natumai ujumbe huu utakufikia popote pale ulipo Mheshimiwa Patrick Kahemele. Awali ya yote nikupongeze sana kwa kupata nafasi ya kuwa Katib...
STAND UNITED YATHIBITISHA UHALALI WAKE TFF
Uongozi wa Klabu ya Stand United ya Mjini Shinyanga inayodhaminiwa na kampuni ya uchimbaji madini ya ACACIA Jana ulikua na mkutano na wajumb...
KUELEKEA KATIKA MECHI YA LEO URENO DHIDI YA UFARANSA HIKI NDICHO NINACHOKIONA
Michuano ya kombe la mataifa ya Ulaya Euro 2016 inahitimishwa leo kwa pambano kati ya Ufaransa ambao no wenyeji dhidi ya Ureno ukiwa ndiyo m...
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMAPILI
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
TUZO ZA WASHINDI WA MSIMU ULIOPITA KATIKA LIGI KUU TANZANIA BARA SASA NI JULAI 17
Hafla ya kukabidhi tuzo mbalimbali za washindi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa msimu wa 2015/2016 itafanyika Julai 17 mwaka huu.
ABDALLAH HAMIS: LULU YA TANZANIA ILIYOJIFICHA NA KUNG'AA NJE YA MIPAKA YA NCHI..
Kijana kutoka Tarime anajulikana kwa jina la ABDALAH HAMIS akicheza nafasi ya kiungo mkabaji, huku akiwa na umri wa miaka 23 tu ni mmoja kat...
MARTIAL ASIPOACHA UTOTO KAMWE HATOTENGENEZA ASALI
Anthony Martial.. Kinda ghali zaidi duniani anayekipiga katika klabu ya Manchester United amekuwa akipata wakati mgumu sana kwa sasa katika ...
LEICESTER CITY YAVUNJA REKODI KUMSAJILI AHMED MUSSA
Mabingwa wa ligi kuu nchini England Leicester City wametangaza rasmi kumsajili mshambuliaji wa Nigeria na klabu ya CSKA Moscow Ahmed Musa kw...
LIVERPOOL WAANZA MECHI ZA MAANDALIZI KWA USHINDI KIDUCHU
Liverpool jana ilianza mechi zake za kujiandaa na msimu mpya wa ligi nchini England kwa kuifunga timu ndogo ya Tranmere Rovers katika mchezo...
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMAMOSI
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
JERRY MURO ASEMA WANAOWEZA KUNISIMAMISHA KAZI NI YANGA TU, APINGA ADHABU ALIYOPEWA
Mkuu wa habari wa klabu ya Yanga Jerry Muro amesema hatambui adhabu iliyotolewa na TFF ya kufungiwa mwaka mmoja na kulipa faini ya milioni 3...
EURO 2016HIVI NDIVYO UFARANSA ILIVYOTINGA FAINALI (Video Highlights)
Kama hukuangalia mechi hiyo unaweza kucheki hapa highlights za mechi hiyo ambayo iliisha kwa Ujerumani kufungwa bao 2-0.
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO IJUMAA
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
EURO 2016 : UFARANSA YAIFATA URENO FAINALI
Timu ya Taifa ya Ufaransa imepata nafasi ya kucheza katika fainali ya michuano ya Euro 2016
BORO YAMSAJILI KIPA WA ZAMANI WA BARCELONA NA MAN UNITED
Klabu ya Middlesbrough iliyopanda kucheza ligi kuu ya England msimu ujao imethibitisha kumsajili kipa wa zamani wa Barcelona na Manchester ...
JERRY MURO AKUMBANA NA RUNGU LA TFF, AFUNGIWA MWAKA MZIMA
Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF limemfungia mwaka mmoja msemaji wa Yanga Jerry Muro.
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO ALHAMISI
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
JINSI URENO WALIVYOTINGA FAINALI (Video Highlights)
Kama hukupata muda wa kutizama mechi ya nusu fainali ya michuano ya Euro 2016 wakati Ureno wanaifunga Wales bao 2-0 waweza kuangalia highlig...
KATIKA SIKU AMBAYO MESSI ANANUSURIKA KUFUNGWA JELA,RONALDO ANAIPELEKA URENO FAINALI EURO 2016
Siku ya tarehe 6 Julai imetawaliwa na Habari mbili kuu zinazowahusu wacheza soka bora kabisa kuwahi kutokea Duniani yani Lionel Messi na C...
RASMI : MAN UNITED YAMSAJILI MKHITARYAN TOKA DORTMUND
Hatimaye Manchester United imekamilisha uhamisho wa kiungo mshambulijaivwa Borussia Dortmund Henrikh Mkhitaryan kwa mkataba wa miaka minne
SHERIA ZA SPAIN ZAWANUSURU MESSI NA BABA YAKE KUFUNGWA GEREZANI
Mahakama ya jiji la Barcelona nchini Spain imewahukumu mshambuliaji wa Barcelona na mchezaji bora wa dunia Lionel Messi na Baba Yake Jorge...
JOHN STONES "AJIPELEKA" MANCHESTER CITY
Mlinzi wa kati wa klabu ya Everton John Stones ameiambia klabu yake hiyo kwamba anataka kujiunga na Manchester City katika dirisha hili la u...
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMATANO
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
RASMI : LUIS NANI ASAJILIWA NA VALENCIA YA SPAIN
Kiungo mshambuliaji wa Ureno na klabu ya Fernebahće Luis Nani amesajiliwa na Klabu ya Valencia ya Spain.
SIWEZI KAMWE KUMCHEZESHA ROONEY NAFASI YA KIUNGO ~ MOURINHO
Kocha mpya wa Manchester United amesema katika utawala wake pale Old Trafford hatakaa amchezeshe Rooney kama kiungo.
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMANNE
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
USAJILI BONGO : BUSUNGU NA NONGA WAELEKEA STAND, ISIHAKA KUPELEKWA MBAO FC YA MWANZA
Usajili wa wachezaji unaendelea kimataifa na hapa nyumbani tayari kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu ya soka Tanzania bara, kombe la shirik...
ULICHEKI MECHI YA JANA? VIDEO HIGHLIGHTS IKO HAPA
Jana Ufaransa ilikua nchi ya mwisho kutinga nusu fainali ya Euro 2016 baada ya kuifunga Iceland bao 5-2 na hapa tumekuwekea highlights za mc...
STAND UNITED YAMSAJILI EDWARD CHARLES WA GEITA NA ABUU UBWA AONGEZA MIAKA MIWILI
Uongozi wa Klabu ya Stand United ya Mjini Shinyanga inayodhaminiwa na kampuni ya uchimbaji madini ya ACACIA umeendelea na maandalizi ya kuji...
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMATATU
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
Euro 2016 : WENYEJI UFARANSA WATINGA NUSU FAINALI KIBABE WAIKANDAMIZA ICELAND 5
Wenyeji wa fainali za kombe la mataifa ya Ulaya Euro 2016 timu ya taifa ya Ufaransa imefanikiwa kutinga katika hatua ya nusu fainali.
CHELSEA YAAANZA USAJILI, MSHAMBULIAJI WA UBELGIJI ASAINI MIAKA MITANO
Klabu ya Chelsea imefanya usajili wa kwanza msimu huu baada ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji Michy Batshuay...
BALLOTEL ARUDI LIVERPOOL NA KUAHIDI KUSHINDA BALON D'OR
Mshambuliaji wa Liverpool Mario Ballotel amerejea katika mazoezi ya klabu hiyo kujiandaa kwaajili ya msimu mpya huku akitanabaisha kwamba le...
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMAPILI
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
ITALIA VS UJERUMANI: ULICHEKI MECHI? ANGALIA VIDEO HIGHLIGHTS HAPA
Kama hukubahatika kuona pambano la Ujerumani na Italia ambapo Ujerumani wameweza kutinga nusu fainali kwa kushinda kwa penati 6-5 angalia ha...
EURO 2016: SAFARI YA ITALIA IMEISHIA KWA UJERUMANI
Mbio ndefu za Timu ya Taifa ya Italia kuweza kuchukua ubingwa wa kombe la mataifa ya Ulaya Euro 2016 zimegonga mamba baada ya kutupwa nje na...
CRYSTAL PALACE YASAJILI WACHEZAJI WATATU NDANI YA SAA 24 YAMNASA BEKI WA WEST HAM
Klabu ya Crystal Palace inayoshiriki katika ligi kuu nchini England imeendelea kufanya usajili wa nguvu tayari kwaajili ya msimu ujao na sa...
CHELSEA YAWATEMA FALCAO,PATO NA MARCO AMELIA
Klabu ya Chelsea imethibitisha kuachana na wachezaji watatu ambao walikua hawapati namba kikosini kutokana na sababu mbalimbali lakini hasa ...
ULICHEKI JINSI WALES WALIVYOIFUNGA BELGIUM? ANGALIA VIDEO HIGHLIGHTS HAPA
Wales jana waliifunga Belgium bao 3-1 katika mechi ya robo fainali ya pili ya michuano ya Euro 2016 nchini Ufaransa. Tumekuwekea hapa highl...
EURO 2016 : WALES YAJIPIGIA UBELGIJI NA KUTINGA NUSU FAINALI
Timu ya taifa ya Wales imefanikiwa kutinga nusu fainali ya michuano ya kombe la mataifa ya Ulaya Euro 2016 inayoendelea nchini Ufaransa.
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO JUMAMOSI
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...
KWA HIKI ALICHOSEMA MANJI, BASI MALINZI NA TFF WAJIANGALIE UPYA KAMA BADO WANAFAA KUONGOZA SHIRIKISHO HILO.
Katika wiki chache zilizopita, kumekuwepo migongano mingi kuhusiana na masuala ya klabu ya Yanga (Young Africans Sports Club) ambapo haikuw...
WAKATI KOCHA MAYANJA AKITAJWA KUELEKEA KAGERA SUGAR, WACHEZAJI WATANO WASAINI KUICHEZEA MSIMU UJAO
Aliyekua kocha msaidizi wa Simba ambaye amedumu kama kocha mkuu wa klabu hiyo kwa muda mrefu anatajwa kwenda kuifundisha klabu ya Kagera Sug...
WANAOMTAKA NEYMAR KUILIPA BARCELONA PAUNDI MILIONI 210
Mabingwa wa Spain Barcelona wameweka kipengele cha kulipwa kiasi cha paundi milioni 210 kama kuna klabu itataka kumnunua mshambuliaji wake ...
HUYU NDIYE KOCHA MPYA WA SOUTHAMPTON
Klabu ya Southampton ya England jana ilimtangaza Mfaransa Claude Puel kama kocha wako mkuu.
BEN ARFA ASAINI MIAKA MIWILI KUICHEZEA PSG
Paris Saint-Germain ambao ni mabingwa wa ligi kuu ya Ufaransa wamekamikisha usajili wa winga wa kimataifa wa Ufaransa Hatem Ben Arfa.
SIMBA YAMTANGAZA KOCHA WA ZAMANI WA CAMERON KAMA KOCHA WAKE MKUU
Katika kurudisha makali yake wekundu wa msimbazi Simba wamemtangaza aliyekua kocha wa timu ya taifa ya Cameroon na Azam FC Joseph Marius Omo...
ULIANGALIA JINSI URENO WALIVYOTINGA NUSU FAINALI? ANGALIA HAPA
Tumekuandalia highlights za mchezo wa robo fainali kati ya Ureno na Poland kama hukupata muda wa kuutazama
EURO 2016 : MIKWAJU YA PENATI YAIPELEKA URENO YA RONALDO NUSU FAINALI
Mechi ya kwanza ya robo fainali ya michuano ya kombe la mataifa ya Ulaya Euro 2016 baina ya Ureno na Poland imeamuliwa na changamoto ya mikw...
KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI KATIKA KURASA ZA MICHEZO LEO IJUMAA
Mpenda soka mwenzangu, nimekuwekea kilichojiri kwenye magazeti ya Tanzania kwa upande wa habari za Michezo. Usiache kuingia hapa kujua yot...