CHALOBAH AIKACHA CHELSEA NA KUSAINI WATFORD MIAKA MITANO

Chalobah is pictured with agent Fitz Hall after penning a five-year deal with Watford
Aliyekua kiungo wa Chelsea Nathaniel Chalobah ameikacha timu hiyo na kukubali kusaini kuichezea Watford inayoshiriki ligi kuu ya Engalnd kwa mkataba wa miaka mitano.


Kiasi cha paundi milioni 6 kimetajwa kama dau lililotumika kumhamisha mchezaji huyo aliyelelewa na Chelsea na kucheza mechi 10 tu za ligi akiwa na mabingwa hao wa ligi kuu ya England.

Chalobah ambaye huichezea pia England chini ya miaka 21 amegoma kusaini mkataba mpya na Chelsea na kuamua kutimkia mazima Watford lengo kuu ni kupata nafasi ya kucheza.
Nathaniel Chalobah has left Chelsea after turning down the offer of a new contract

No comments

Powered by Blogger.