CHELSEA YAENDELEA KUGAWA POINTI EPL, NEWCASTLE HALI MBAYA
Waliokua mabingwa watetezi wa ligi kuu nchini England Chelsea wameendelea kugawa pointi msimu huu baada ya kukubali kichapo cha bao 3-2 toka kwa Sunderland.
Sunderland walio katika hatari ya kushuka Daraja walihitaji pointi 3 kutoka katika mchezo huo huku wakiombea Newcastle United ifungwe au kutoka Sare.
Sunderland wakafanikiwa kupata ushindi na Newcastle wakatoa Sare ya bila kufungana ugenini dhidi ya Aston Villa
Swansea City wakiwa nyumbani waliitandika West Ham bao 4-1 huku Bournemouth wakienda Sare ya bao 1-1 na West Bromwich Albion huku Crystal Palace wakiinyuka Stoke City bao 2-1.
Sunderland walio katika hatari ya kushuka Daraja walihitaji pointi 3 kutoka katika mchezo huo huku wakiombea Newcastle United ifungwe au kutoka Sare.
Sunderland wakafanikiwa kupata ushindi na Newcastle wakatoa Sare ya bila kufungana ugenini dhidi ya Aston Villa
Swansea City wakiwa nyumbani waliitandika West Ham bao 4-1 huku Bournemouth wakienda Sare ya bao 1-1 na West Bromwich Albion huku Crystal Palace wakiinyuka Stoke City bao 2-1.
No comments