CHELSEA YAMTAMBULISHA ALEXANDRE PATO
Hatimaye klabu ya Chelsea imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil na klabu ya Corinthians ya Brazil Alexandre Pato
Mbele ya waandishi wa habari Pato alisaini mkataba wa mkopo wa miezi sita ukiwa na kipengele cha kuongeza muda baada ya mkopo wake kumalizika
Pato atajiunga na Chelsea kama mshambuliaji wa nne miongoni mwa washambuliaji wa Chelsea klabuni hapo. Atakua akigombania namba na Diego Costa, Loic Remy na Radamel Falcao.
Mbele ya waandishi wa habari Pato alisaini mkataba wa mkopo wa miezi sita ukiwa na kipengele cha kuongeza muda baada ya mkopo wake kumalizika
Pato atajiunga na Chelsea kama mshambuliaji wa nne miongoni mwa washambuliaji wa Chelsea klabuni hapo. Atakua akigombania namba na Diego Costa, Loic Remy na Radamel Falcao.
No comments