FULL TIME: MATOKEO YA MECHI ZOTE EPL (VIDEO HIGHLIGHTS)
Ligi kuu nchini Uingereza imeendeleo kwa michezo kadha huku ikishuhudia Man city wakipigwa goli 2 na Stoke City, magoli ya Stoke City yalifungwa na Marko Arnautovic dakika ya 7 na 15. Majirani wao Man UTD wametoka sare ya bila kufungana na Westham UTD.
Jiji London, Arsenal imeondoka na ushindi wa goli 3 kwa 1 dhidi ya Sunderland na kupaa hadi nafasi ya pili ya msimamo wa Ligi. Magoli ya Arsenal yalifungwa na J Campbell (33),O Giroud (63),A Ramsey (90+3) na lile la Sunderland lilipatikana kwa Giroud kujifunga
MATOKEO YOTE YA MECHI ZA LEO HAYA HAPA
HIGHLIGHS ZA MECHI ZA LEO
Stoke 2- 0 Man CTY
Arsenal 3- 1 Sunderland
Swansea 0 - 3 Leicester City
Westbrom 1 - 1 Totenham
Man UTD 0 - 0 Westham
Watford 2 - 0 Norwich
Jiji London, Arsenal imeondoka na ushindi wa goli 3 kwa 1 dhidi ya Sunderland na kupaa hadi nafasi ya pili ya msimamo wa Ligi. Magoli ya Arsenal yalifungwa na J Campbell (33),O Giroud (63),A Ramsey (90+3) na lile la Sunderland lilipatikana kwa Giroud kujifunga
MATOKEO YOTE YA MECHI ZA LEO HAYA HAPA
Stoke 2- 0 Man CTY
Arsenal 3- 1 Sunderland
Swansea 0 - 3 Leicester City
Westbrom 1 - 1 Totenham
Man UTD 0 - 0 Westham
Watford 2 - 0 Norwich
No comments