HII NDIYO RATIBA YA MECHI ZA LEO JUMAMOSI KATIKA SOKA BARANI ULAYA


Jumamosi ya leo ni wakati mwingine ambapo Wapenda Soka tutaendelea kupata burudani ya soka kutoka katika ligi zilizosheheni kila aina ya ufundi barani Ulaya.
Tumekuwekea ratiba kamili ya mechi za leo kwa saa za Hapa nyumbani Afrika mashariki enjoy:-


★Barclays Premier League
3:45 PM - Stoke City vs Manchester City
6:00 PM - Arsenal vs Sunderland
6:00 PM - Manchester United vs West Ham United
6:00 PM - Southampton vs Aston Villa
6:00 PM - Swansea City vs Leicester City
6:00 PM - Watford vs Norwich City
6:00 PM - West Bromwich Albion vs Tottenham Hotspur
8:30 PM - Chelsea vs AFC Bournemouth

★Spanish Primera División
6:00 PM - Real Madrid vs Getafe
8:15 PM - Granada vs Atletico Madrid
10:30 PM - Valencia vs Barcelona

06/12/2015
12:00 AM - Deportivo La Coruña vs Sevilla FC
12:05 AM - Real Betis vs Celta Vigo

★German Bundesliga
5:30 PM - Borussia Monchengladbach vs Bayern Munich
5:30 PM - FC Cologne vs FC Augsburg
5:30 PM - FC Ingolstadt 04 vs TSG Hoffenheim
5:30 PM - Hamburg SV vs Mainz
5:30 PM - Hertha Berlin vs Bayer Leverkusen
8:30 PM - VfL Wolfsburg vs Borussia Dortmund

★Italian Serie A
5:00 PM - Torino vs AS Roma
10:45 PM - Internazionale vs Genoa

★French Ligue 1
7:00 PM - Lyon vs Angers
10:00 PM - Bastia vs AS Monaco
10:00 PM - Caen vs Lille
10:00 PM - GFC Ajaccio vs Nantes
10:00 PM - Stade de Reims vs Troyes
10:00 PM - Toulouse vs Lorient

JANA
★German Bundesliga
Schalke 04 3-1 Hannover 96

★Italian Serie A
Lazio 0-2 Juventus

★French Ligue 1
Nice 0-3 Paris Saint-Germain

No comments

Powered by Blogger.