MKWASA AITISHA MKUTANO MKUU YANGA


Katibu Mkuu wa Yanga Charles Boniface Mkwasa ameitisha mkutano mkuu wa klabu yanga na wanachama wake utakaofanyika mei 5.

Mkwasa amesema kikao cha kamati ya utendaji cha klabu ya Yanga kilichoketi siku ya Jumamosi kimefikia maamuzi hayo ya kuitisha mkutano mkuu wa wanachama utakaofanyika ndani ya mwezi mei.

Kadi zote za wanachama za zamani na mpya zitatumika kinachopaswa ni kia mwanachama kulipa Ada yake ya uanacham kwa wakati ili kuweza kushirki mkutano huo aliseme Mkwasa

Klabu ya Yanga inaelekea kufanya mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji kutoka kwa wanachama na huenda katika mkutano huo ikwa moja ya Ajenda

No comments

Powered by Blogger.