MATUKIO KWA PICHA: SINGIDA UNITED WALIVOTEMBELEA OFISI ZA YARA

Klabu ya Singida United Fc hii leo imewatembelea wadhamini wao, kampuni ya nambari one Duniani kwa uzalishaji wa mbolea ya YARA.


Ziara hiyo ilihusisha pia kutembelea shule ya sekondari ya Kurasini na kupanda miti, kutoa mifuko ya Cement kwajili ya ujenzi wa vyoo vya wanafunzi.

Tumekuekea hapa matukio kwa picha 

No comments

Powered by Blogger.