BAADA YA KIPIGO CHA PSG, BAYERN MUNICH YAMTIMUA KOCHA CARLO ANCELOTT

Carlo Ancelotti's Bayern suffered a 3-0 defeat against Paris Saint-Germain on Wednesday
Habari kutoka katika vyanzo mbalimbali vya habari Nchini Ujerumani na barani Ulaya vimeeleza kuwa Klabu ya Bayern Munich Imeamua kumvungia virago kocha wake Carlo Ancellot 

Hiyo inakuja masaa machache baada ya mabingwa hao wa Ujerumani kufungwa bao 3-0 na Paris Saint German ya Ufaransa katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya 

Kocha huyo Raia wa Italia amedumu na Bayern Munich kwa miezi 15 pekee na ataiacha Bayern ikiwa katika nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi kuu ya Ujerumani Bundesliga.

No comments

Powered by Blogger.