VODACOM YAMWAGA VIFAA KWA TIMU ZA LIGI KUU BARA

MKURUGENZI IDARA YA MASOKO VODACOM  HISHAM HENDI
Timu zinazoshiriki ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara zimekabidhiwa vifaa mbalimbali na mdhamini mkuu wa ligi hiyo kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, vifaa hivyo VIP ovyo kabisa kwa kwa timu zinazoshiriki ligi hiyo vina thamani ya zaidi ya shilingi millioni 500/=

Akikabidhi vifaa hivyo Mkurugenzi wa idara ya masoko na usambazaji wa kampuni hiyo, Hisham Hendi, alisema kuwa kwa Mara nyingine tena katika kuhakikisha ligi ya Soka nchini inaenda vizuri Vodacom inakabidhi vifaa mbalimbali vya ligi ambavyo ni jezi mbalimbali, vitu vya mazoezi na mechi, soksi, vilinda ugoko, nguo za mazoezi nguo za kawaida, gloves na vifaa vingine vinavyohitajika. Tunajiskia Furaha kukabidhi vifaa hivi siku ya leo tukiwa tunatekeleza matakwa ya Mkataba wa udhamini matumaini timu zimejiandaa vya Kutisha kwa msimu mpya wa 2017-2018
MTENDAJI MKUU WA BODI YA LIGI WAMBURA

Nate ofisa Mtendaji Mkuu wa bodi ya Ligi Boniface Wambura Alishukuru hiyo na kuzitaka klabu zinazoshiriki ligi hiyo kuheshimu chapa ya mda mini wakati wote wa mechi za ligi "

Aliongeza TFF isingependa Kutumia kanuni na sheria kuadhibu klabu inayokwenda kinyume Bali kila klabu izingatie masharti ya mdhamini kama ambayo anavyotimiza haki yake ya kuwapatia vifaa

Alisema ligi ya Mwaka huu itakuwa bora kutokana na maandalizi yote kukamilika mapema pia Timu zitakazoshiki zimejiandaa vya Kutisha kuhakikisha ligi unakuwa na msisimko na ushindani mkubwa

JEZI ZA YANGA


JEZI ZA SIMBA

No comments

Powered by Blogger.