KESI YA MALINZI NA MWESIGWA YAPIGWA TENA KALENDA WAENDELEA KUSOTA RUMANDE
Watuhumiwa hao wamerudishwa rumande baada ya kesi yao kuahirishwa tena hadi Agosti 11, mwaka huu kutokana na upelelezi kutokamilika ikiwa ni siku moja kabla ya Uchaguzi mkuu wa Shirikisho hilo uliopangwa kufanyika Agosti 12 mwaka huu mjini Dodoma.
No comments