HIVI NDIVYO ROONEY NA WENZAKE WALIVYOONDOKA LIVERPOOL KUJA TANZANIA JANA (+PICHA)

Wayne Rooney was part of the Everton squad jetting out to Tanzania on Tuesday night
Wayne Rooney
Klabu ya Everton ya England inaingia Tanzania Asubuhi hii ikiwa na kikosi kamili kwaajili ya mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Mabingwa wa Sportpesa Klabu ya Gormahia ya Kenya pambano litakalopigwa uwanja wa Taifa Kesho Jioni.
Nahodha wa zamani wa Manchester united na England Wayne Rooney ni Mmoja wa nyota walio katika safari hiyo ambayo imejumuisha nyota wote wa Everton kasoro Rose Barkley ambaye inasemekana anaweza kuuzwa.

Defender Ashley Williams joins his team-mates ahead of the flight to Dar Es Salaam
Beki Ashley williams
Hivi ndivyo wachezaji hao walivyoonekana uwanja wa ndege jijini Liverpool tayari kwa safari ya kuja Tanzania huku Tanzania ikipata nafasi ya kuandikwa sana na vyombo vya habari vya kimataifa kufuatia ujio huu wa wanandinga hao ambao wengi tumekua tukiwashuhudia kwenye Luninga.
Ronald Koeman refused to answer questions about Barkley's future in a press-conference
Ronald Koeman-Kocha wa everton
Winger Aaron Lennon was included in the traveling party after missing the end of last season
Winga Aaron Lenon
Gareth Barry boards a flight as Everton get ready to depart Merseyside
Yannick Bolasie is part of the touring squad but will not feature due to a long-term knee injury

1 comment:

Powered by Blogger.