NDOTO YA FARID MUSSA KUCHEZA LALIGA YAYEYUKA, TENERIFE YASHINDWA KUPANDA DARAJA


Ndoto  ya Watanzania kumshuhudia mchezaji wa kitanzania akicheza katika moja ya ligi bora duniani yani ligi kuu ya Spain La liga imefutika baada ya Tenerife kushindwa kupanda daraja.

Tenerife Ndiyo  Timu ambayo Mchezaji wa Timu  ya Taifa ya Tanzania Farid MUSSA anaichezea akitokea Azam FC na usiku wa Jana walipoteza mechi muhimu wakifungwa bao  3-1 na Getafe.

Tenerife ilihitaji sare  tu iweze kupanda daraja baada ya ushindi wake wa bao 1-0 katika mechi ya awali hivyo kupoteza kwa jumla  ya Golgi 3-2.

No comments

Powered by Blogger.