ZABALETA KUMFATA MANCIN INTER MILAN
Wawakilishi wa Beki huyo mkongwe walikua mjini Milan Jumanne kukamilisha dili la kumtoa beki huyo katika kikosi cha Manchester City ambacho kitakua chini ya Kocha Pep Guadiola.
Dili hilo likikamilika litamuunganisha mchezaji huyo na kocha wake wa zamani anayeifundisha Inter Milan hivi sasa Roberto Mancini kukiwa pia na uvumi wa kutakiwa na AS Roma.
No comments