WANYAMA WA SOUTHAMPTON AINYIMA USHINDI STARS DHIDI YA KENYA
Pambano la kimataifa la kirafiki kati ya wenyeji timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars na timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars limemalizika kwa sare ya bao 1-1.
Pambano hilo lilipigwa katika dimba la Nyayo jijini Nairobi lilishuhudia kiungo wa Southampton ya England Victor Wanyama akiisawazishia Kenya bao kwa njia ya penati ikiwa ni dakika 6 tu baada ya Elias Maguli kuifungia Taifa Stars kwa kichwa akiunganisha mpira wa beki Juma Abdul.
Stars ilikua ikijiandaa kwaajili ya mchezo dhidi ya Misri wiki ijayo huku Kenya wao wakitarajiwa kucheza na Sudan.
![]() |
Wachezaji wa Stars wakimpongeza Maguli kwa kufunga bao |
Pambano hilo lilipigwa katika dimba la Nyayo jijini Nairobi lilishuhudia kiungo wa Southampton ya England Victor Wanyama akiisawazishia Kenya bao kwa njia ya penati ikiwa ni dakika 6 tu baada ya Elias Maguli kuifungia Taifa Stars kwa kichwa akiunganisha mpira wa beki Juma Abdul.
Stars ilikua ikijiandaa kwaajili ya mchezo dhidi ya Misri wiki ijayo huku Kenya wao wakitarajiwa kucheza na Sudan.
No comments