BAADA YA KUTWAA UBINGWA REAL MADRID WAPOKELEWA NA GWARIDE LA HESHIMA SPAIN (PICHA )

Real Madrid ambao jana walinyakua ubingwa wao wa 11 katika historia ya ligi ya mabingwa barani Ulaya wamepokelewa kwa gwaride maalumu walipowasili jijini Madrid wakitokea Milan Italia.
Hizi hapa picha za matukio jijini Madrid leo

















No comments

Powered by Blogger.