MARTIAL AFUNGA BAO LA KIHISTORIA WAKATI DIMBA LA OLD TRAFFORD LIKIMTUNUKU SIR BOBBY CHALTON
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa anayeichezea Manchester United Antony Martial leo ameingia katika kumbukumbu muhimu kwa klabu hiyo baada ya kufunga bao pekee katika mchezo wa ligi kuu nchini England dhidi ya
Everton katika dimba la Old Trafford
Manchester United iliibuka na ushindi wa bao hilo 1 katika mechi ambayo legendari wa klabu hiyo Sir Bobby Chalton alitunukiwa heshima ya pekee akiungana na Sir Alex Ferguson kuandikwa katika majukwaa ya klabu hiyo na kupewa jukwaa la kusini lililoandikwa JUKWAA LA SIR BOBBY CHALTON (SIR BOBBY CHALTON STAND)
Martial alifunga bao hilo pekee na kumfanya kutinga katika kumbukumbu ya kuwa mchezaji wa Man United aliyefunga bao la 1000 katika ligi kuu ya England katika dimba la Old Trafford tangu msimu mpya wa ligi ulipoanzishwa mwakati 1992.
Tumekuwekea hapa picha za matukio ya mchezo huo
Everton katika dimba la Old Trafford
Manchester United iliibuka na ushindi wa bao hilo 1 katika mechi ambayo legendari wa klabu hiyo Sir Bobby Chalton alitunukiwa heshima ya pekee akiungana na Sir Alex Ferguson kuandikwa katika majukwaa ya klabu hiyo na kupewa jukwaa la kusini lililoandikwa JUKWAA LA SIR BOBBY CHALTON (SIR BOBBY CHALTON STAND)
Martial alifunga bao hilo pekee na kumfanya kutinga katika kumbukumbu ya kuwa mchezaji wa Man United aliyefunga bao la 1000 katika ligi kuu ya England katika dimba la Old Trafford tangu msimu mpya wa ligi ulipoanzishwa mwakati 1992.
Tumekuwekea hapa picha za matukio ya mchezo huo
![]() |
Sir Bobby Chalton na Mkewe kabla ya mchezo huo |
![]() |
Jukwaa la Bobby |
![]() |
Wayne Rooney akiwa jukwaani |
![]() |
Roberto Martinez kocha wa Everton |
![]() |
Rashford akiwatoka Jagielka na Banes |
![]() |
Lingard akimzuia Rose Barkley |
![]() |
Martial akimtoka Stones |
![]() |
De Gea kazini |
![]() |
Wachezaji wa United wakishangilia |
No comments