LIVERPOOL YAAAMBULIA KICHAPO KWA "WATAKATIFU" NEWCASTLE NA SUNDERLAND SARE
Licha ya kutangulia kupata mabao mawili Liverpool wamekumbana na kichapo cha bao 3-2 toka kwa Southampton ambao wanajulikana pia kama Watakatifu.
Pambano hilo la Ligi kuu ya England lilipigwa katika dimba La Saint Marys likishuhudia Liverpool walitangulia kupata bao 2 zilizofungwa na Philip Continho na Daniel Sturadge kabla ya Southampton kuzinduka na kupata mabao matatu kipindi cha pili Sadio Mane akifunga bao 2 na Graziano Pelle akifunga bao moja.
Katika mechi nyingine Newcastle ilitoshana nguvu na Sunderland kwa kufungana bao 1-1 Sunderland wakitangulia kufunga kupitia kwa Defoe lakini Mitrovic akaisawazishia Newcastle.
Kama hukuangalia mechi hizi mbili tumekuwekea hapa highlights unaweza kuangalia
Pambano hilo la Ligi kuu ya England lilipigwa katika dimba La Saint Marys likishuhudia Liverpool walitangulia kupata bao 2 zilizofungwa na Philip Continho na Daniel Sturadge kabla ya Southampton kuzinduka na kupata mabao matatu kipindi cha pili Sadio Mane akifunga bao 2 na Graziano Pelle akifunga bao moja.
Katika mechi nyingine Newcastle ilitoshana nguvu na Sunderland kwa kufungana bao 1-1 Sunderland wakitangulia kufunga kupitia kwa Defoe lakini Mitrovic akaisawazishia Newcastle.
Kama hukuangalia mechi hizi mbili tumekuwekea hapa highlights unaweza kuangalia
No comments