RONALDO APIGA HAT-TRICK REAL MADRID IKISHINDA BAO 6-0
Mechi ya ligi kuu nchini Spain baina ya Real na Espanyol imemalizika kwa Real Madrid kuibuka na ushindi mnono wa bao 6-0
Cristiano Ronaldo alifunga mabao matatu yani hat-trick katika mchezo huo huku magoli ya Karim Benzema,James Rodriguez na goli la kujifunga la mlinzi wa Espanyol Oscar Duarte yakikamilisha ushindi huo mnono kwa Real Madrid wanaonolewa na Zinedine Zidane.
Tangu Zinedine aanze kuifundisha Real Madrid timu hiyo haijafungwa na kwa matokeo hayo Real Madrid inaendelea kushika nafasi ya 3 ikiwa na pointi zake 47 pointi moja nyuma ya Atletico Madrid wanaokamata nafasi ya pili.
MATOKEO YA MECHI ZOTE ZA JUMAPILI
Cristiano Ronaldo alifunga mabao matatu yani hat-trick katika mchezo huo huku magoli ya Karim Benzema,James Rodriguez na goli la kujifunga la mlinzi wa Espanyol Oscar Duarte yakikamilisha ushindi huo mnono kwa Real Madrid wanaonolewa na Zinedine Zidane.
Tangu Zinedine aanze kuifundisha Real Madrid timu hiyo haijafungwa na kwa matokeo hayo Real Madrid inaendelea kushika nafasi ya 3 ikiwa na pointi zake 47 pointi moja nyuma ya Atletico Madrid wanaokamata nafasi ya pili.
MATOKEO YA MECHI ZOTE ZA JUMAPILI
- Real Madrid 6-0 Espanyol
- Sevilla 3-1 Levante
- Valencia 0-1 Sporting Gijon
- Las Palmas 2-1 Celta Vigo
No comments