CHELSEA YAIBAMIZA MK DONS MKONO, EVERTON NAO WAMO
Chelsea imetinga hatua ya 16 bora ya michuano ya kombe la chama cha soka nchini England FA baada ya kuibamiza MK Dons bao 5-1.
Mchezo huo wa Raundi ya nne ya michuano hiyo ilishuhudia Chelsea wakipata mabao yao kupitia kwa Oscar aliyefunga bao 3 peke yake huku Eden Hazard akifunga bao pia kwa Chelsea na lingine moja likifungwa na Bertrand Traore
Katika mchezo wa awali Everton ikiwa nyumbani Goodson Park ikiibuka na ushindi wa bao 3-0 ikiifunga Carlisle United
Aruna Kone,Aaron Lenon na Rose Barkley wote walifunga bao moja moja na kuifanya Everton kati ya timu 16 zitakazopambana hatua inayofata.
Mchezo huo wa Raundi ya nne ya michuano hiyo ilishuhudia Chelsea wakipata mabao yao kupitia kwa Oscar aliyefunga bao 3 peke yake huku Eden Hazard akifunga bao pia kwa Chelsea na lingine moja likifungwa na Bertrand Traore
Katika mchezo wa awali Everton ikiwa nyumbani Goodson Park ikiibuka na ushindi wa bao 3-0 ikiifunga Carlisle United
Aruna Kone,Aaron Lenon na Rose Barkley wote walifunga bao moja moja na kuifanya Everton kati ya timu 16 zitakazopambana hatua inayofata.
No comments