SUAREZ AIPELEKA BARCELONA FAINALI YA KLABU BINGWA YA DUNIA
Mabingwa hao wa China wanafundishwa na kocha wa zamani wa Brazil na Ureno Luis Felipe Scolari wameipa Barcelona nafasi ya kucheza fainali siku ya Jumapili dhidi ya mabingwa wa America ya Kusini River plate.
Kama Barcelona itashinda kombe hilo itaweka historia ya kuwa timu ya kwanza kuchukua kombe hilo mara 3 baada ya kulichukua mwaka 2009 na 2011
No comments