ZANZIBAR HEROES YAKUBALI TENA KIPIGO SASA HATIHATI
Timu ya taifa ya Tanzania kisiwani Zanzibar heroes
imekubali kipigo cha goli 4 – 0 kutoka
kwa Ugandaa katika michuano ya Challenge
Mapema leo Zanzibar Heroes imekubali tena kufungwa na Uganda na kuwa kipigo chake cha pili baada ya kuanza michuano hiyo kwa kufungwa bao 1-0 na Burundi.
Dakika 90 ziliisha kwa Zanzibar kukubali kipigo hicho, Zanzibar inaomba miujiza ili iendelee hatua ya robo fainali kama best looser
Mapema leo Zanzibar Heroes imekubali tena kufungwa na Uganda na kuwa kipigo chake cha pili baada ya kuanza michuano hiyo kwa kufungwa bao 1-0 na Burundi.
Dakika 90 ziliisha kwa Zanzibar kukubali kipigo hicho, Zanzibar inaomba miujiza ili iendelee hatua ya robo fainali kama best looser
No comments