KILIMANJARO STARS YAENDELEZA DOZI ETHIOPIA
Timu ya taifa ya Tanzania Bara Kilimanjaro Stars imeendelea
kugawa dozi baada ya kuichapa Rwanda bao 2-1 katika michuano ya Challenge
Kilimanjaro Stars inayofundishwa na Abdallah Kibadeni ilipata magoli yake mawili kupitia kwa Said Ndemla na Simon msuva
Kilimanjaro Stars inayofundishwa na Abdallah Kibadeni ilipata magoli yake mawili kupitia kwa Said Ndemla na Simon msuva
Kilimanjaro stars imekuwa team ya kwanza kujihakikishia
nafasi katika Hatua za robo fainail
No comments