KWA TAARIFA YAKO ~ HAWA NDO WAFUNGAJI BORA KABISA KATIKA HISTORIA YA KOMBE LA DUNIA
Fainali za Kombe la Dunia zinaendelea kule Brazil kwa magoli kufungwa kila kukicha na mpaka sasa Robin van Perse,Neymar na Robben wanaongoza katika listi ya wafungaji mwaka huu wakiwa tayari na goli mbili kila mmoja.
KWA TAARIFA YAKO tu wafuatao wamebaki katika vitabu vya kumbukumbu kutokana na kufunga magoli mengi katika historia ya kombe la Dunia:-
- Edson Arantes do Nascimento maarufu kama Pele - BRAZIL
- JUST FONTAINE - UFARANSA
- GERD MULLER - GERMANY
- MIROSLAV KLOSE - GERMANY
- RONALDO DE LIMA - BRAZIL
tukutane katika Makala nyingine kama hii Jumatano
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++

No comments