TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA 2013 ~ RONALDO NDO BABA LAO
ASHINDA TUZO KWA MARA YA PILI
Winga mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Ureno na klabu ya Real Madrid,Cristiano Ronaldo amechaguliwa kuwa mwanasoka bora wa FIFA wa dunia kwa mwaka 2013 baada ya kuwashinda Lionel Messi wa Barcelona na Timu ya Taifa ya Argentina na Frank Ribery wa Bayern Munich na timu ya Taifa ya Ufaransa.
Hii ni mara ya pili kwa Ronaldo akishinda Tuzo hiyo mara ya kwanza ikiwa ni mwaka 2008 wakati akiichezea Manchester United ya England.
Ronaldo aliyeambatana na mtoto wake na mkewe alijikuta akitoka machozi na kuliza watu wengi alioambatana nao baada tu ya kutangazwa mshindi wa Tuzo hiyo.
Japokua hakushinda kombe lolote akiwa na timu yake ya Taifa wala Klabu ya Real Madrid lakini aliweza kufunga magoli 69 akifunga pia Hat trick mara 8.
Ronaldo ndo mchezaji pekee aliyepiga mashuti mengi katika magoli ya wapinzani kuliko mchezaji yoyote kwa mwaka 2013 huku akitoa pasi za mwisho za magoli 15.
Amekua pia mchezaji wa kwanza katika historia ya Ligi ya mabingwa Ulaya kufunga magoli mengi zaidi katika hatua ya Makundi akifunga magoli 9.
Ronaldo pia amefunga goli 4 katika mechi 2 zilizopelekea timu yake ya taifa ya Ureno kufuzu kwa fainali zijazo za kombe la dunia nchini Brazil dhidi ya Sweden.
Usiku wa jana ulishuhudia pia Tuzo mbali mbali zikitolewa kwa makundi mbali mbali japokua Tuzo ya FIFA fair play ilitia moyo kwa wapenda soka kwani ilinyakuliwa na timu ya Taifa ya Afghanstan mabingwa wa kombe la bara la Asia, ikumbukwe kuwa Afghanstan imekaa zaidi ya miaka 16 bila amani huku Mpira ukirudisha umoja kwa taifa hilo la Asia lililotawaliwa na Vita.
Tuzo zingine zilikua kama ifuatavyo:-
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
Winga mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Ureno na klabu ya Real Madrid,Cristiano Ronaldo amechaguliwa kuwa mwanasoka bora wa FIFA wa dunia kwa mwaka 2013 baada ya kuwashinda Lionel Messi wa Barcelona na Timu ya Taifa ya Argentina na Frank Ribery wa Bayern Munich na timu ya Taifa ya Ufaransa.
Hii ni mara ya pili kwa Ronaldo akishinda Tuzo hiyo mara ya kwanza ikiwa ni mwaka 2008 wakati akiichezea Manchester United ya England.
Ronaldo aliyeambatana na mtoto wake na mkewe alijikuta akitoka machozi na kuliza watu wengi alioambatana nao baada tu ya kutangazwa mshindi wa Tuzo hiyo.
Japokua hakushinda kombe lolote akiwa na timu yake ya Taifa wala Klabu ya Real Madrid lakini aliweza kufunga magoli 69 akifunga pia Hat trick mara 8.
Ronaldo ndo mchezaji pekee aliyepiga mashuti mengi katika magoli ya wapinzani kuliko mchezaji yoyote kwa mwaka 2013 huku akitoa pasi za mwisho za magoli 15.
Amekua pia mchezaji wa kwanza katika historia ya Ligi ya mabingwa Ulaya kufunga magoli mengi zaidi katika hatua ya Makundi akifunga magoli 9.
Ronaldo pia amefunga goli 4 katika mechi 2 zilizopelekea timu yake ya taifa ya Ureno kufuzu kwa fainali zijazo za kombe la dunia nchini Brazil dhidi ya Sweden.
Usiku wa jana ulishuhudia pia Tuzo mbali mbali zikitolewa kwa makundi mbali mbali japokua Tuzo ya FIFA fair play ilitia moyo kwa wapenda soka kwani ilinyakuliwa na timu ya Taifa ya Afghanstan mabingwa wa kombe la bara la Asia, ikumbukwe kuwa Afghanstan imekaa zaidi ya miaka 16 bila amani huku Mpira ukirudisha umoja kwa taifa hilo la Asia lililotawaliwa na Vita.
Tuzo zingine zilikua kama ifuatavyo:-
- Timu bora ya mwaka ya FIFA
- Manuel Neur (Germany & Bayern Munich)
- Dani Alves (Brazil & Barcelona)
- Philip Lahm ( Germany & Bayern Munich)
- Thiago Silva ( Brazil & PSG )
- Sergio Ramos ( Spain & Real Madrid)
- Xavi ( Spain & Barcelona)
- Frank Ribery ( France & Bayern Munich)
- Iniesta ( Spain & Barcelona)
- Zlatan Ibrahimovic ( Sweden & PSG)
- Messi ( Argentina & Barcelona)
- Ronaldo ( Ureno & Real Madrid)
- Tuzo ya Heshima ya FIFA
- Tuzo ya Goli Bora
- Kocha Bora - soka la Wanawake
- Kocha Bora - Soka la wanaume
- Tuzo Maalumu ya FIFA
- Tuzo ya mchezaji bora wa Kike
- FIFA Ballon d'or


No comments