KIKOSI KAMILI CHA SIMBA KINACHOENDA NAIROBI
Mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara Wekundu wa msimbazi Simba wako njiani kuelekea Airport tayari kwa safari ya kuelekea nchini Nairobi kushiriki michuano maalum ya vilabu vi
vinavyodhaminiwa na kampuni ya Sport Pesa hapa Afrika Mashariki
Vilabu vya Tanzania hasa Simba vimeonesha kuyapa umuhimu mkubwa mashindano hayo msimu huu zaidi ya msimu uliopita baada ya kubeba silaha zake zote huku ikiwakosa wachezaji wake wote ambao raia wa Ghana kwa ruhusa maalum
Tumekuekea hapa kikosi kamili cha Simba kinachoenda Nairobi
Makipa
Said Mohamed, Ally Salim na Aishi Manula
Mabeki
Paul Bukaba, Erasto Nyoni, Ally Shomari,Yusuf Mlipili, Shomari Kapombe na Mohamed Hussein
Viungo
Rashid Juma, Said Hamis,Haruna Niyonzima, Mzamiru Yassin, Mohamed Ibrahim, na Jonas Mkude
Washambuliaji
Moses Kitandu, Marcel Kaheza, Shiza Kichuya
vinavyodhaminiwa na kampuni ya Sport Pesa hapa Afrika Mashariki
Vilabu vya Tanzania hasa Simba vimeonesha kuyapa umuhimu mkubwa mashindano hayo msimu huu zaidi ya msimu uliopita baada ya kubeba silaha zake zote huku ikiwakosa wachezaji wake wote ambao raia wa Ghana kwa ruhusa maalum
Tumekuekea hapa kikosi kamili cha Simba kinachoenda Nairobi
Makipa
Said Mohamed, Ally Salim na Aishi Manula
Mabeki
Paul Bukaba, Erasto Nyoni, Ally Shomari,Yusuf Mlipili, Shomari Kapombe na Mohamed Hussein
Viungo
Rashid Juma, Said Hamis,Haruna Niyonzima, Mzamiru Yassin, Mohamed Ibrahim, na Jonas Mkude
Washambuliaji
Moses Kitandu, Marcel Kaheza, Shiza Kichuya
No comments