TANZANIA YAPANDA NAFASI 9 VIWANGO VYA UBORA DUNIANI, UJERUMANI YAKAMATA USUKANI
Tanzania imeweza kupanda kutoka katika nafasi ya 146 mpaka nafasi ya 137 katika viwango hivyo ikichangiwa na matokeo mazuri katika michezo miwili ya kirafiki ya kimataifa.
Ujerumani ambao ni mabingwa wa dunia wanashika nafasi ya kwanza Kwa Ubora duniani ikifuatiwa na Brazil kisha Ubelgiji wakati Tunisia wanashika nafasi ya 14 na ya kwanza Afrika.
No comments