SIMBA NA YANGA SASA KUPIGWA APRIL 29
Mechi ya watani wa jadi baina ya Simba na Yanga
katika mzunguko wa pili wa lala salama itapigwa tarehe 29 ya mwezi wa April
katika uwanja wa taifa
Akiongea
na waandishi wa Habari katika ofisi za TFF leo Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya
ligi, Boniface Wambura ametangaza mechi zote zilizokuwa tarehe zake
hazijapangwa.
Ligi hiyo
inayotoa mwakilishi katika michuano ya klabu bingwa inatarajiwa kumalizika mei
26 na kufuatiwa na fainali ya kombe la Fa ambae bingwa wake atashirki kombe la
shikisho.
Mechi
pekee zilizofanyiwa marekebisho ni zile ambazo zilihusisha Simba na Yanga kwa
kuwa ratiba ziliingiliana kupisha michuano ya kimataifa alisema Wambura
Ratiba
yote iliyofanyiwa marekebisho hii hapa
Njombe Mji vs Simba (3 Aprili)
Mbao FC vs Lipuli ( 6 Aprili )
Mwadui FC vs Majimaji ( 7Aprili )
Mtibwa Sugar vs Simba ( 9Aprili )
Yanga vs Singida United ( 11 April)
Simba vs Mbeya City ( 12 Aprili)
No comments