MOHAMMED SALAH NDIYE MCHEZAJI BORA EPL NOVEMBA

Mohamed Salah has been crowned Premier League player of the month for November
Winga machachari wa kimataifa wa Misri anayeichezea Liverpool Mohammed Salah amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Novemba katika tuzo za kila mwezi zinazotolewa katika ligi kuu ya England.

Salah mchezaji wa zamani wa Chelsea ameshinda tuzo hiyo baada ya kuwa na mwezi mzuri zaidi akifunga bao 7 katika mechi 4 za timu yake katika mwezi huo 

Mpaka sasa Mohammed Salah ameshafunga mabao 20 kwa timu yake tangu ajiunge nayo kwa ada ya uhamisho paundi milion 30 akitokea AS Roma

No comments

Powered by Blogger.