SPURS YAICHARAZA REAL MADRID NA KUTINGA 16 BORA

Dele Alli alifunga magoli
mawili na Ericksen huku goli pekee la mabingwa hao likifungwa na Cristiano
Ronaldo, Real wamefungwa kwa mara ya kwanza kwenye hatua za makundi toka mwaka
2012 na kipigo cha pili ndani ya wiki moja baada ya kupoteza mchezo wa ligi
dhidi ya Ginora
Matokeo yote ya klabu bingwa barani ulaya jana
Borussia Dortmund 1-1
APOEL
Liverpool 3-0 Maribor
Sevilla 2-1 Spartak Moscow
Sevilla 2-1 Spartak Moscow
Besiktas 1-1 Monaco
FC Porto 3-1 RasenBallsport Leipzig
SSC Napoli 2-4 Manchester City
Shakhtar Donetsk 3-1 Feyenoord
FC Porto 3-1 RasenBallsport Leipzig
SSC Napoli 2-4 Manchester City
Shakhtar Donetsk 3-1 Feyenoord
No comments