IMEVUJA: EVERTON KUMTANGAZA BIG SAM KAMA KOCHA MPYA
Sam Allardyce maarufu kama Big Sam amekua nje ya ulingo wa soka tangu alipotimuliwa kuinoa timu ya taifa ya England kwa kashfa na sasa atarejea kutaka kurudisha heshima yake pia kuiepusha Everton na balaa la kushuka daraja.
Tangu walipomtimua kocha Ronald Koeman mwezi Uliopita Everton wamekua wakihaha kutafuta mbadala wake huku nguvu kubwa ilikua imewekwa kwa kocha wa Watford Mreno Marco Silva na baada ya kushindwana nae wameona wamkabidhi sasa timu mzawa ambaye ili kurejesha heshima klabuni hapo.
No comments