ARSENAL NAYO YAKUMBANA NA KIPIGO KWA MAN CITY
Kevin De Bryune alitangulia kuipatia Manchester City bao la kwanza dakika ya 19 ya mchezo bao lililodumu mpaka mapumziko kisha Sergio aguero akafunga bao la pili dakika ya 50 kabla ya Gabriel Jesus hajaifungia City bao la tatu na arsenal walipata bao la kufutia machozi dakika ya 65 likifungwa na Alexandre lacazette.
 
 
 
No comments