MATOKEO NA WAFUNGAJI LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA


Cristiano Ronaldo ameendelea kuweka rekodi mpya ya ufungaji katika ligi ya mabingwa barani Ulaya akifunga mabao mawili katika ushindi wa bao 3-1 walioupata mabingwa watetezi Real Madrid dhidi ya Borussia Dortmund.

Ronaldo ambaye amefikisha mabao 14 katika mechi 7 zilizopita ikiwa ni wastani wa bao 2 kwa kila mechi katika michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya.

Harry Kane naye ameendelea kuuwasha moto baada ya kufunga mabao matatu yani Hat-Trick wakati Tottenham wakishinda bao 3-0 ugenini dhidi ya APOEL Nicosia ya Cyprus.

Tumekuwekea matokeo na wafungaji katika mechi zote 8 za leo

GROUP E
Sevilla 3-0 NK Maribor
- Wissam Ben Yedder (27',38,83')

Spartak Moscow 1-1 Liverpool
- Fernando (23')
- Philipe Coutinho (31')

GROUP F
Manchester City 2-0 Shaktar Donetsk
- Kevin De Bryune (18')
-Raheem Sterling (90')

Napoli 3-1 Fayernoord
- Lorenzo Insigne (7')
- Dries Mertens (49')
- Jose Maria Calejon (70')
- Sofyan Amrabat (90')

GROUP G
Besiktas 2-0 RB Leipizg
- Ryan Babel (11')
- Anderson Talisca (43')

Monaco 0-3 FC Porto
- Vicent Aboubakar (31',69')
- Miguel Layun (89')

GROUP H
Apoel Nikosia 0-3 Tottenham
 - Harry Kane (39,62,67)

Borussia Dortmund 1-3 Real Madrid
- Gareth Bale (18')
- Cristiano Ronaldo (50',79')
- Pierre-Emeniķe Aubemeyang (54')

No comments

Powered by Blogger.