HIVI NDIVYO MABINGWA UJERUMANI WALIVYOREJEA NYUMBANI (PICHA)

Baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 kwenye mechi ya Fainali ya kombe la Mabara, Timu ya taifa ya Ujerumani ilitua katika uwanja wa ndege wa Frankfurt wakiwa na ndege ya shirika la Lufthansa wakiwa wamevalia fulana nyeupe zenye maandishi kifuani "CHAMPIONS"


Hizi hapa Picha
The team posed for pictures with the trophy on the steps after getting off the plane
The Germany squad returned home on Monday after winning the Confederations Cup
Striker Timo Werner clutches his Golden Boot award, won for being the tournament top scorer
All the players and staff - including manager Joachim Low - wore celebratory t-shirts
Try telling Joshua Kimmich that the cup is a second rate competition which does not matter

No comments

Powered by Blogger.