FAINALI FA CUP KUPIGWA DODOMA
Mchezo
wa Fainali za kuwania Kombe la Shirikisho la Azam (Azam Sports
Federation Cup HD - ASFC), kati ya Simba SC ya Dar es Salaam na Mbao FC
ya Mwanza, utafanyika Mei 28, mwaka huu kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini
Dodoma.
No comments