UNAMKUMBUKA GIOVANNI VAN BRONCKHORST?

Na Franck Lelo
-Aliichezea Arsenal kama beki wa kushoto miaka yake ya mwanzoni mwa soka.


-Aliamia barcelona na kua mmoja kati ya waliounda kizazi kilichotawala soka duniani mwaka 2004 akiwa na Ronaldinho.

-Alishinda ubingwa wa ulaya na barcelona mwaka 2006 wakiifunga Arsenal mabao 2-1 fainali.

-Alivoondoka Barcelona alirudi Feyenoord alikoanza mpira, na akastaafu hapo.

-Alipostaafu alipewa kazi kama kocha msaidizi Feyenoord. 

-Kocha mkuu wa Feyenoord alipofukuzwa yeye alipewa kazi kama kocha mkuu 2015 mwezi march. 

-Msimu wake wa kwanza  aliwasaidia Feyenoord kushinda taji la KNVB Cup (kama ilivyo FA cup england)


-Msimu huu yuko kileleni akiongoza ligi kwa point 8, zikibaki mechi 12 ligi kuisha.

-Akifanikiwa kuchukua ligi kuu ya Uholanzi atakua ameisaidia Feyenoord kuchukua ubingwa wa ligi ya Uholanzi kwa mara ya  kwanza baada ya miaka 


No comments

Powered by Blogger.