YANGA VS SIMBA : TAZAMA HAPA MATUKIO KATIKA PICHA

Vinara wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara Wekundu wa Msimbazi Simba wakicheza pungufu ya mchezaji mmoja wameweza kulazimisha uwan ya bao 1-1 na watani zao klabu ya Yanga ambao ni mabingwa watetezi.
www.wapendasoka.com ilikua uwanjani kuhakikisha hupitwi na jambo lolote katika pambano hilo na tumekuandalia picha za matukio hapa

Kutoka kushoto waliosimama:Ajib,Mavugo,Mzamiru,Mwanjali,Lufunga na Mkude.
Walioinama toka kushoto: Bokungu,Kichuya,Angban,Kazimoto na Mohamed Hussein.

Waliosimam toka kushoto: Mahadhi,Kamusoko,Barthez,Mwinyi,Ngoma,Bousou
Walioinama toka kushoto: Yondani,J.Abdul,Tambwe,Twitte na Kaseke
Timu zikiingia uwanjani.
Juma Abdul akitoa maelezo

Jonas Mkude akitolewa uwanjani baada ya kupata kadi nyekundu.
Kadi ya njano kwa Barthez kwa kupoteza muda






No comments

Powered by Blogger.