POGBA AIBUKIA KWA MABINGWA LEICESTER ASHAPIGA BAO 1
Mchezaji aliyezua gumzo katika usajili wake kwa pesa nyingi zilizotumika Paul Pogba huku akishindwa kuonyesha makali dimbani ameshafunga bao 1 wakati Man United ikicheza na mabingwa Leicester City.
Mpaka sasa ikiwa ni mapumziko tayari Man united inaongoza kwa bao 4-0 Magoli ya Chriss Smalling,Juan Mata,Paul Pogba na Marcus Rashford.
Nahodha wa mchezo wa leo ni Smaling baada ya Jose Mourinho kumwacha bench Wayne Rooney.
Mpaka sasa ikiwa ni mapumziko tayari Man united inaongoza kwa bao 4-0 Magoli ya Chriss Smalling,Juan Mata,Paul Pogba na Marcus Rashford.
Nahodha wa mchezo wa leo ni Smaling baada ya Jose Mourinho kumwacha bench Wayne Rooney.
No comments