HARRY KANE NA VARDY WAIPA USHINDI ENGLAND DHIDI YA UTURUKI
Mechi ya kimataifa ya kirafiki kati ya England na Uturuki ilimalizika jana kwa ushindi wa 2-1 walioupata wenyeji England.
Mchezo huo wa maandalizi kuelekea fainali za kombe la mataifa ya Ulaya Euro 2016 ulipigwa katika dimba la Etihad jijini Manchester
Harry Kane na Jarmie Vardy ndiyo mashujaa wa Mchezo huo baada ya kufunga mabao yote mawili
Highlights za Mchezo huo tumekuwekea hapa
Mchezo huo wa maandalizi kuelekea fainali za kombe la mataifa ya Ulaya Euro 2016 ulipigwa katika dimba la Etihad jijini Manchester
Harry Kane na Jarmie Vardy ndiyo mashujaa wa Mchezo huo baada ya kufunga mabao yote mawili
Highlights za Mchezo huo tumekuwekea hapa
No comments