YAMEMKUTA GARY NEVILLE APIGWA 7 NA BARCELONA, SUAREZ ATUPIA BAO 4 (+VIDEO HIGHLIGHTS)
Usiku wa jana ulikua mgumu kwa gwiji wa zamani wa Manchester United na England Gary Neville baada ya kuchabangwa bao 7-0 akiwa kama kocha mkuu wa Valencia.
Mchezo huo wa kwanza wa nusu fainali ya kombe la Mfalme ulipigwa katika dimba la Nou Camp ulishuhudia Luis Suarez akifunga bao 4 katika bao hizo 7 huku Lionel Messi akifunga bao 3
Matokeo haya ni mabaya sana kwa Gary Neville ambaye hajafanya vizuri tangu afike klabuni hapo na sasa atahitaji ushindi wa bao 8-0 katika mchezo wa marudiano ili kutinga fainali
Kama Hukuangalia mechi hii, bonyeza kwenye video hapa chini kuionea magoli yote ya mechi hii
Mchezo huo wa kwanza wa nusu fainali ya kombe la Mfalme ulipigwa katika dimba la Nou Camp ulishuhudia Luis Suarez akifunga bao 4 katika bao hizo 7 huku Lionel Messi akifunga bao 3
Matokeo haya ni mabaya sana kwa Gary Neville ambaye hajafanya vizuri tangu afike klabuni hapo na sasa atahitaji ushindi wa bao 8-0 katika mchezo wa marudiano ili kutinga fainali
Kama Hukuangalia mechi hii, bonyeza kwenye video hapa chini kuionea magoli yote ya mechi hii
No comments