SAMATTA ATAMBULISHWA RASMI GENK A PESA JEZI NAMBA 77
Klabu ya Krc Genk ya Ubelgiji Imemsajili rasmi Mshambuliaji na kapteni wa team ya taifa ya Tanzania aliyekua anaichezea klabu ya Tp mazembe ya Congo Mbwana Ally Samatta katika Dirisha dogo la usajiri wa Januari
Mbwana Ally Sammatta mwenye umri wa miaka 24 amejiunga rasmi na klabu hiyo Inayoshiriki ligi kuu ya Ubelgiji akitokea Tp Mazembe ambako mkataba wake ulikua umebaki miezi sita na amesaini mkataba wa miaka minne kuitumikia klabu hiyo iliyotoa nyota kadhaa barani Ulaya.
Genk inashika nafasi ya 6 katika msimamo wa ligi ya Ubelgiji ikiwa na pointi 32 baada ya kucheza mechi 23. Timu inaongozwa ni AA Gent yenye pointi 49 ikifatiwa na Club Brugge yenye pointi 46
Samatta alipoulizwa kwanini kachagua namba 77 alisema hataki kushindania namba 7 ambayo walimpa avae kwani duniani kote namba 7 inagombaniwa
Mbwana Ally Sammatta mwenye umri wa miaka 24 amejiunga rasmi na klabu hiyo Inayoshiriki ligi kuu ya Ubelgiji akitokea Tp Mazembe ambako mkataba wake ulikua umebaki miezi sita na amesaini mkataba wa miaka minne kuitumikia klabu hiyo iliyotoa nyota kadhaa barani Ulaya.
Genk inashika nafasi ya 6 katika msimamo wa ligi ya Ubelgiji ikiwa na pointi 32 baada ya kucheza mechi 23. Timu inaongozwa ni AA Gent yenye pointi 49 ikifatiwa na Club Brugge yenye pointi 46
Samatta alipoulizwa kwanini kachagua namba 77 alisema hataki kushindania namba 7 ambayo walimpa avae kwani duniani kote namba 7 inagombaniwa
No comments