LIGI KUU TANZANIA BARA: MZUNGUKO WA PILI KUANZA KESHO
Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom
Tanzania bara hatua ya lala salama unatarajiwa kuanza kesho Jumamosi kwa
michezo sita, kwa kila timu kusaka pointi tatu muhimu katika mzunguko huu wa
pili.
Wagosi wa kaya Coastal Union watakua wenyeji wa Yanga mjini Tanga, Huku Macho ya wengi yakiwa Uwanja wa Taifa wakati Wekundu wa msimbazi Simba sport klabu wao watakua wenyeji wa Afrikan Sport mchezo utakaochezwa kwenye uwanja wa taifa Dar Es Salaam.
Tumekuekea Ratiba yote ya Kesho
Wagosi wa kaya Coastal Union watakua wenyeji wa Yanga mjini Tanga, Huku Macho ya wengi yakiwa Uwanja wa Taifa wakati Wekundu wa msimbazi Simba sport klabu wao watakua wenyeji wa Afrikan Sport mchezo utakaochezwa kwenye uwanja wa taifa Dar Es Salaam.
Tumekuekea Ratiba yote ya Kesho
Simba Vs African sports
Coastal union Vs Yanga
Jkt Ruvu Vs Majimaji
Mtibwa Sugar Vs Stand Unite
Mwadui Fc Vs Toto Afrikans.
Kagera Sugar Vs Mbeya City.
NOTE: Mechi
zote ni saa 4:00 jioni
No comments