LA LIGA: ANGALIA MAGOLI YA MECHI ZA LA LIGA (REAL MADRID NA BARCELONA ZIKITOA VIPIGO VIZITO)

Miamba ya Hispania jana ilishuhudiwa ikizishushia timu pinzani vipigo vizito. Real Madrid iliyocheza mchezo wa pili ikiwa chini ya Zidane iliibuka na ushindi mzito wa goli 5 dhidi ya 1 la Sporting Gijon.

Ronaldo akishangalia baada ya kufunga goli


ZIDANE BAO 10 MECHI MBILI REAL MADRID I KIUNGO SPORTING GIJON 5-1
Soma hapa kupata undani wa mechi hii





Barcelona Nao hawakuwa nyuma kwa waliisambaratisha Athletico Bilbao kwa magoli 6 kwa 0 wafungaji wakiwa ni Messi, Neymar na Rakitic waliofunga goli moja kwa kila mmoja huku L Suarez akifunga magoli matatu.



SUAREZ APIGA HAT-TRICK BARCELONA IKIMPONGEZA MESSI KWA BAO 6-0. 
Soma hapa kupata undani wa mechi hii




Video za magoli ya mechi za Real Madrid vs Sporting, Barcelona vs Athletico Bilbao na Las Palmas vs Atletic Madrid nimekuwekea hapa chini

Real Madrid 5 - 1 Sporting Gijon



Barcelona 6 - 0 Athletic Bilbao


Las Palmas 0 - 3 Atletico Madrid


No comments

Powered by Blogger.