KOMBE LA FA : ARSENAL, MAN CITY NA SPURS ZA PESA, LIVERPOOL BADO IPOIPO SANA
Mechi za Hatua ya nne ya michuano ya kombe la FA nchini England ziliendelea leo kwa mechi kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali nchini humo.
Mabingwa watetezi Arsenal wakiwa nyumbani waliifunga Burnley bao 2-1 Magoli ya Chambers na Alexis Sanchez katika mechi ambayo Burnley walijitahidi mno kuibana Arsenal
Manchester City wakisafiri mpaka jiji la Birmingham waliifunga Aston Villa bao 4-0 shujaa wa mechi hiyo akiwa kila na wa Nigeria Kelechi Iheanacho aliyefunga bao 3 huku Raheem Sterling akifunga bao moja
Tottenham Hotspurs wakiwa ugenini waliifunga Colchester United bao 4-1
Mabingwa watetezi Arsenal wakiwa nyumbani waliifunga Burnley bao 2-1 Magoli ya Chambers na Alexis Sanchez katika mechi ambayo Burnley walijitahidi mno kuibana Arsenal
Manchester City wakisafiri mpaka jiji la Birmingham waliifunga Aston Villa bao 4-0 shujaa wa mechi hiyo akiwa kila na wa Nigeria Kelechi Iheanacho aliyefunga bao 3 huku Raheem Sterling akifunga bao moja
Tottenham Hotspurs wakiwa ugenini waliifunga Colchester United bao 4-1
MATOKEO YA MECHI ZOTE ZA JANA KATIKA KOMBE LA FA
- Colchester United 1-4 Tottenham Hotspur
- Arsenal 2-1 Burnley
- Aston Villa 0-4 Manchester City
- Bolton Wanderers 1-2 Leeds United
- Bury 1-3 Hull City
- Crystal Palace 1-0 Stoke City
- Nottingham Forest 0-1 Watford
- Oxford United 0-3 Blackburn Rovers
- Portsmouth 1-2 AFC Bournemouth
- Reading 4-0 Walsall
- Shrewsbury Town 3-2 Sheffield Wednesday
- West Bromwich Albion 2-2 Peterborough United
- Liverpool 0-0 West Ham United
No comments