MATOKEO YOTE LIGI KUU TANZANIA BARA WEKIEND HII
Ligi kuu ya Soka Tanzania bara iliendelea wikiend hii kwa mechi kadhaa kupigwa kupigwa siku ya Jumamosi na Jumapili na haya ndiyo matokeo ya jumla ya michezo hiyo
Jijini Dar es Salaam Yanga iliifunga Mbeya city bao 3-0 shukrani kwa magoli mawili ya Amiss Tambwe na moja la kiungo Kamusoko
Mjini Shinyanga Simba ilitoshana nguvu na Mwadui FC kwa kwenda sare ya bao 1-1 katika mchezo mwingine uliopigwa katika dimba la Kambarage.
Yanga 3-0 Mbeya City
Majimaji 0-2 Prisons
Coastal union 1-1 Stand United
Ndanda 1-3 JKT Ruvu
Toto Africans 0-1 African Sports
Jijini Dar es Salaam Yanga iliifunga Mbeya city bao 3-0 shukrani kwa magoli mawili ya Amiss Tambwe na moja la kiungo Kamusoko
Mjini Shinyanga Simba ilitoshana nguvu na Mwadui FC kwa kwenda sare ya bao 1-1 katika mchezo mwingine uliopigwa katika dimba la Kambarage.
MATOKEO YOTE
Jumamosi
Mwadui 1-1 SimbaYanga 3-0 Mbeya City
Majimaji 0-2 Prisons
Coastal union 1-1 Stand United
Ndanda 1-3 JKT Ruvu
Jumapili
Azam FC 2-0 Kagera SugarToto Africans 0-1 African Sports
No comments