LIVERPOOL YAUNGANA NA MAN CITY NA CHELSEA KUMALIZA WEEKEND VICHWA CHINI
Liverpool leo iliungana na Chelsea na Manchester City kuwa kati ya timu zilizomaliza wikiendi hii kwa vichapo katika ligi kuu nchini England.

Magoli yote ya Newcastle yalipatikana kipindi cha pili juhudi za kiungo Georgino Wjnaldum ambaye alitengeneza bao la kwanza ambalo lilipelekea beki wa Liverpool Martin Skertel kujifunga huku akifunga bao la pili baada ya kupiga shambulizi la kustukiza langoni kwa Liverpool ambao walipanda kutaka kupata goli
Kwa matokeo hayo Newcastle wameweza kupata pointi 3 muhimu ambazo zinawafanya kufikisha pointi 13 ikishika nafasi ya 18 katika msimamo wa ligi hiyo huku Liverpool wakibaki na pointi zao 23 katika nafasi ya 7.
No comments