BARCELONA MABINGWA WA DUNIA
Messi alitangulia kufunga bao la mapema akitumia pasi ya Neymar badae Luis Suarez akafunga mabao mawili kukamilisha ushindi wa bao 3-0.
Barcelona wakiwa na kocha Luis Enrique wameshinda makombe matano kati ya 6 waliyoshindania wakikosa kombe la Mfalme nchini Spain.
No comments