CECAFA LEO ZANZIBAR HEROES NA KILISTARS UWANJANI

Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge inatarajiwa kuendelea leo nchini Ethiopia. Ndugu wawili kwa pamoja wakishuka viwanjani Zanzibar heroes wtakuwa na kibarua kigumu kuwavaa waganda walotoka kujeruhiwa huku Kilimanjaro Stars ikiwavaa Rwanda ambao wanaonekana kuimarika na kufanya kuwa moja ya game ngumu leo. Kilimanjaro stars ikishinda mchezo wa leo itakuwa imejihkikishia kuendelea hatua ya robo fainali.

Ratiba ya leo Cecafa

2:00 PM Uganda vs Zanzibar Heroes
4:00 PM  Rwanda vs Kilimanjaro stars 

No comments

Powered by Blogger.