BARCELONA YAENDELEA VIPIGO, ARSENAL YAFUFUA MATUMAINI

Kundi F limezidi kuonyesha mwanga kwa Arsenal ambao walikua na nafasi finyu lakini jana Arsenal waliibuka na ushindi wa bao 3-0 wakiifunga Dinamo Zagreb wakati huo huo Bayern Munich wakiitandika Olympiakos bao 4-0. Hii imeipa uhai Arsenal ambao mechi ya mwisho watacheza na Olympiakos na wakishinda basi watavuka kuingia 16 bora.
MATOKEO NA WAFUNGAJI MECHI ZOTE ZA JANA LIGI YA MABINGWA ULAYA
KUNDI E
BATE Borisov 1-1 Bayer Leverkusen (FT)
- Mikhail Gordeychuk (2')
- Admir Mehmedi 68')
Barcelona 6-1 AS Roma
-Luis Suarez (15',44')
- Lionel Messi (18', 60')
- Gerard Pique (56')
- Adriano (77')
- Edin Dzeko (90')
KUNDI F
Arsenal 3-0 Dinamo Zagreb
- Mesuit Ozil (29')
- Alexis Sanchez (33',69')
Bayern Munich 4-0 Olympiakos
- Douglas Costa (8')
-Robert Lewandowski (16')
- Thomas Muller (20')
- Kingsley Coman (69')
FC Porto 0-2 Dynamo Kyiv
- AndriyYarmolenko (36')
- Derlis Gonzalez (64')
Maccabi Tel Aviv 0-1 Chelsea
- Gary Cahill (20')
- Willian (73')
- Oscar (77')
- Kurt Zouma (90')
KUNDI H
Zenit 2-0 Valencia
- Oleg Shatov (15')
- Artem Dzyuba. (74')
Lyon 1-2 Gent
- Jordan Ferri (7')
-Danijel Milicevic (32')
- Kalifa Coulibaly (90')
No comments