MATOKEO NA WAFUNGAJI - LIGI KUU YA ENGLAND 



Na Edo Daniel Chibo


Jumla ya magoli 18 yamefungwa jana  mechi 7 zikipigwa  katika mfululizo wa ligi kuu nchini England huku Yannick Bolasie akipamba vichwa vya habari alipofunga Hat trick katika ushindi wa Bao 4-1 walioupata Crystal Palace dhidi ya Sunderland.

Jumla ya kadi za njano 30 zilitolewa katika mechi hizo 7 ikiwa ni wastani wa zaidi ya kadi 4 katika kila mchezo huku kadi moja tu nyekundu ikitoka.

HAYA NDIYO MATOKEO NA WAFUNGAJI WOTE WA MAGOLI KATIKA MECHI ZA JANA


SWANSEA 1-1 EVERTON

  - Aaron Lennon (41')
  - Jonjo Shelvey (69') P

SOUTHAMPTON 2-0 HULL CITY

   - Jermie Ward Prowse (57') p
   - Graziano Pelle (82')

SUNDERLAND 1-4 CRYSTAL PALACE 

    - Glenn Murray (48')
     - Yannick Bolasie (51',53',62')
     - Connor Wickam (90')

TOTTENHAM 0-1 ASTON VILLA

    - Christian Benteke (35')

WEST BROM 2-3 LEICESTER CITY

   - Darren Fletcher (8')
   - David Nugent (20')
   - Craig Gadner (26')
    - Robert Huth (81')
    - Jamie Vardy (90')

WEST HAM 1-1 STOKE CITY

  - Aaron Cresswell (7')
  - Marko Arnautovic (90')

BURNLEY 0-1 ARSENAL

   - Aaron Ramsey (12')

++++++++++++++++++++++++++++

No comments

Powered by Blogger.